Upo sahihi baba , Mungu akulinde uzidi kutupatia madini, tusiyumbishwe na Hawa watu wageni wasioeleweka katika Iman, mm nimekuelewa vzr nimekataa ujinga huo.❤
Mungu wetu ni waupendo naunyenyekevi nimungu wa fraha Asante mtumishi hananja Kila roho iliyojikana hutii neno la jumbe zako, Atakuongea chemchemi rohoni mwako kilafundisho likawe mbegu kwa mioyo ya waaminio ishikwaamani ukidhmu katika kufundisha
Hizi ibada yakuwa kiboko yawachawi nk nibiashara tu wala sio ibada ambayo tumeelekzwa kufanya kuwa ndio kuabudu. Huku ni kufeli kwasababu tumeletwa duniani kumuabudu Muumba now kinachofanyika ni uzushii tu napia leo watu wamekumbwa na stress kutokana na maisha kuwa magumu now ndio naona h nibiashara na watadanganywa wengi
Binadamu ni Ibada na Ibada ni binadamu, Adam aliumbwa kwa utukufu wa Mungu na sio kuwa na hofu ya shetani, aliumbwa kumuabudu Mungu kwa roho na kweli. Wengi wanatawaliwa na hofu ya maisha bila sababu. 🤦🏼♂️🤷🏼♂️
Mchungaji hananja napenda tu mazungumzo na mafundisho yako unanipa ujasiri sana wa kuishi kwa Amani . Amen Amen ubarikiwe sana naomba sana mafundisho yako .
Kwa kweli makanisa mengi niyakichawi ndiyo sababu nikibo ko ya wachawi mara wamenasa wachawi mara apa kanisani pana mchawi atoke mara mtu katoka anatoa ushuuda mimi ni mchawi huo ni usanii siyo dini hiyo
Munguni waupendo siyo wamaangamizi wachawi niwakutafuta nakuwahubili neno ili waokoke anayeua nilusifa na mapepo yake kama huyojamaa anavyojiita etikiboko yao .
Acheni uzushi hapa wa majina,tatizo wivu hamna upako km wa kiboko ya wachawi,utata ni kwako wewe mtangazaji,ndio shetani ni wamejaa kibao hapo tanzania,Mungu anasema usimuache mtu mchawi aishi
Binafsi sikubaliani na hoja ya Mtumishi kwasababu Biblia imeandika kama misingi ikiaribika mwenye haki atafanya nini? Hapa tunachotakiwa kutafakali ni kwanini haya yanatokea? Maana sehemu zote za kumuabudu Mungu hazipo sawa hata moja zote zimeiacha sheria ya Bwana. Mfano imeandikwa askofu ni Mume wa Mke Mmoja mbona kuna watu hawaruusiwi kuoa katika kanisa lao na wanajiita maaskofu na wengine ni wanawake wanaitwa askofu. Mleta mada anataka serikali iingilie kati wakati katiba ya nchi inasema serikali haina dini na hapo ndio kiini cha matatizo yote maana neno dini maana yake njia na njia kwa wakristo ni Yesu Kristo . Nawasii saana watanzania wenzangu tusiwe na shaka wala ofu katika haya maana ajaye atatumika kuyamaliza yote hayo na kutimiza andiko lisemalo Imani moja Bwana mmoja na ubatizo mmoja na na imani moja. Kwake Yesu lazima kila goti litapigwa. Wajibu wetu sisi tuendelee kumsii Mungu Mapenzi yake yatimie.
Pastor h nakukubali sana unahekima ya ajabu Mungu akutunze
Upo sahihi baba , Mungu akulinde uzidi kutupatia madini, tusiyumbishwe na Hawa watu wageni wasioeleweka katika Iman, mm nimekuelewa vzr nimekataa ujinga huo.❤
MCH..JI Hananja Mzee wa michano ya ukwer nakukubari sana haunaga vya kufichaficha mwenyez Mungu akutangulie katika huduma zako..❤
Safi sana Pastor Hananja. May God bless you and your family ❤❤❤
Very good Pastor. Ubarikiwe Pastor
kijiji bila wazee ni uhuni,mzee kanyoosha vizuri sana
May the Living God bless you abundantly Pastor, from Holland 🇳🇱
Nafurahi sana kukutana na mtu mwenye akili anayeniimarisha😅
MashaaAllah MashaaAllah mchungaji hananja mwenyezi mungu akutangulie kwenye maisha yako inshallah
Huyu ni mchungaji na mwalimu mwenye busara sana
Huyu anafaa akae meza moja na bishop ngonyani jamaa anajua ingia you tube tafuta kipindi kinaitwa izrael Katika unabii jamaa anachambua bible hatari
Ameen Kubwa BABA maua mengiii kwako mimi binafsi nakuelewa unacho kizungumza
Mungu wetu ni waupendo naunyenyekevi nimungu wa fraha Asante mtumishi hananja Kila roho iliyojikana hutii neno la jumbe zako, Atakuongea chemchemi rohoni mwako kilafundisho likawe mbegu kwa mioyo ya waaminio ishikwaamani ukidhmu katika kufundisha
Umesema kweli Rev: Hananja
Huo ni ujumbe mkubwa kw watanzania ambao hawa amini Maisha wanayoishi
Hakika huyu ndie pastor, haitaji kubadili sauti wakati wa kuongea, anaambatanisha mstari wa bible kila neno la hekima hatakaloongea ❤🙏🙏
Dad Mungu akujaalie unapendeza ukivaa hivyo Mungu akupe Khery nyingi 💕💕💕🤲🏼
Asante sana paster.kwa hekima ya majibu yako kibiblia kwa busara.
Hakika umenibariki kwa mada nzuri kumbe ukijijenga kiuongo utaishi kwa uongo ukitafakari kwa kweli utaishi kwa ukweli Ahsante
Hizi ibada yakuwa kiboko yawachawi nk nibiashara tu wala sio ibada ambayo tumeelekzwa kufanya kuwa ndio kuabudu.
Huku ni kufeli kwasababu tumeletwa duniani kumuabudu Muumba now kinachofanyika ni uzushii tu napia leo watu wamekumbwa na stress kutokana na maisha kuwa magumu now ndio naona h nibiashara na watadanganywa wengi
Wachawi wazazi wako na Ww
Kweli kabisa👏🏼
Binadamu ni Ibada na Ibada ni binadamu, Adam aliumbwa kwa utukufu wa Mungu na sio kuwa na hofu ya shetani, aliumbwa kumuabudu Mungu kwa roho na kweli. Wengi wanatawaliwa na hofu ya maisha bila sababu. 🤦🏼♂️🤷🏼♂️
I love this man, sabubu ua anatoa pia maandiko
😂😂😂😂❤❤❤❤hyu sasa ndo MCHUNGAJI
Mungu akutunze mchungaji, nimecheka eti hata congo wangepelekwa wachawi
Mchungaji hananja napenda tu mazungumzo na mafundisho yako unanipa ujasiri sana wa kuishi kwa Amani . Amen Amen ubarikiwe sana naomba sana mafundisho yako .
Kinacho nifraisha sana mtumishi wa mungu unatumia biblia asante
huyu mchungaji ni noma, anaongea kidogo anakazia na andiko kwa kila atakachokisema. Biblia imelala kichwan duuh
Nyau kalia kwenye send-off 😂😂
Kwa kweli makanisa mengi niyakichawi ndiyo sababu nikibo ko ya wachawi mara wamenasa wachawi mara apa kanisani pana mchawi atoke mara mtu katoka anatoa ushuuda mimi ni mchawi huo ni usanii siyo dini hiyo
This is Soo Deep⭐
Namkubali sanaa
Kumbe weweehujui uchaw mungu yeyeanajuwa wew unatudanganya
Jamani Mimi nayapenda sana mafundisho ya mchungaji Hananja!
Duh Pastor Hananja we kiboko ......
Ubarikikiwe mzee
Umenena Kweli Mtumishi ...
huo ni ufunuo halisi toka kwa Mungu
Upewe Maua yako Baba 💐💐💯
dah! mch Hananja biblia Yuko vzr co wale wanaotuchezea sinema eti miujiza!
Nakukubali mchungaji!
Nakuelewa hananja, MUNGU akubariki
Mungu akutunze baba❤❤❤
Safi sana mtumishi
baada ya Nyerere ni wewe..... 🥰🥰🥰
Nakubali elimu tosha
Mchungaji hananja nikimuona tu nacheka hata kama hajaongea chochote.😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Hakika serikali ikomalie Aya mambo hayako sawa uko sahihi mchungaji
Kweli kabisa sasa hivi mahubiri ni uchawi tu,wanaboa sana.Serikali iangalie hili kwa makini.Tunakoelekea ni kubaya sana
Uko true mzee apriciate
Nafurahi kusikia wachungaji mkijibu upumbavu unaoenezwa kwa kasi
Neno la Mungu linasema; Watu wangu wanapotea kwakukosa maarifa
Shida kubwa watu wanapenda mazingaumbwe kuliko kupenda kwelii
Safi kabisa mchungaji
Thank for nice messages
Dah eti kama manyumbu vile bila shaka watakuwa ni manyumbu United hao😅😅😅😅😅😅😅
Mchungaji hananja ndo mfano wa manabii wanayo yaishi Maisha ya ki Kristo bila ya hofu
Hananja professional Bible study
Amina baba mm nimejifuza kwa kutoa Vifungu katka bibilia
Yaaaah!!! Teacher
Ubarikiwe sana Mungu akubariki sana
Hanaja ninoma sana eti alidhani wata acha jogoo 😂😂 Waka acha nazi😂😂
AMEIN Baba Ubarikiweee
Father you talk about real situation in Jesus Christ life's
Hakika Pastor unaweza kutuweka sawa asie elewa hatoelewa kamwe
😅😂mzee mengine mengi yupo sawa na ukakasi kidogo humo kuhusu vita,vita ipo rohoni tuanzie Waefeso 6:11-12
Akili kubwaa😂😂😂😂
Yaani hapa ndo mwisho wa matatizo.
Muuliza maswal hajauliza maeneo mahususi ya upotoshaji ya huyu kiboko ya wachaw😢
Munguni waupendo siyo wamaangamizi wachawi niwakutafuta nakuwahubili neno ili waokoke anayeua nilusifa na mapepo yake kama huyojamaa anavyojiita etikiboko yao .
Huyu jamaa amejaa neno la Mungu ndani na anaongea reality
Facts pastor
Mungu sio Mwanaume 🙏🙏🙏😃
1:34 amesema mungu sio mwanaume. Inamana mungu ni mwanamke?
Ila kweri serikali Ione hili jamanii utaperi umezidi watu wanadanganywa kweupeeeeee na wanachekelea tu
Amina mtumishi
Tz raia wengi ni vilaza jamani.
Ubarikiwe mtu ws mungu sana
Mmh much hananja inabidi nicheke😂😂😂
Yaani mzee anaijuwa biblia yoote achana na awo wanaosema pekea magari napokea 😂😂😂at biblia awasomi
Hakika Mungu akutunze❤ unaongea ukweli
Asante babaaa ❤
BONGE LA PASTER❤❤❤❤❤❤
Kuna lijamaa linaitikia amenaaa😂😂😂
Hakika Baba huwa nakuerewa sana
Upo sahihi kabisa
Nakubali maandishi
Na kweli kiboko ya wachawi anahubiri injili chonganishi
Mzee wabusala
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa....
😂😂😂😂 hela weka kichwani
Acheni uzushi hapa wa majina,tatizo wivu hamna upako km wa kiboko ya wachawi,utata ni kwako wewe mtangazaji,ndio shetani ni wamejaa kibao hapo tanzania,Mungu anasema usimuache mtu mchawi aishi
Hekima kubwa
Amina😂😂😂😂
Kila anchoongea anakitetea kwa maandiko hawa ndio wachungaji tunao wahutaji
15:23 🙏🙏🙏🙏
Wewe ni Mchungaji wa kweli
Huyu mch 😂😂😂
Mnaacha kufuatilia mambio mabaya na machafu mnafuatilia watumishi kila mtu ameeitwa kivyake
Binafsi sikubaliani na hoja ya Mtumishi kwasababu Biblia imeandika kama misingi ikiaribika mwenye haki atafanya nini? Hapa tunachotakiwa kutafakali ni kwanini haya yanatokea? Maana sehemu zote za kumuabudu Mungu hazipo sawa hata moja zote zimeiacha sheria ya Bwana. Mfano imeandikwa askofu ni Mume wa Mke Mmoja mbona kuna watu hawaruusiwi kuoa katika kanisa lao na wanajiita maaskofu na wengine ni wanawake wanaitwa askofu. Mleta mada anataka serikali iingilie kati wakati katiba ya nchi inasema serikali haina dini na hapo ndio kiini cha matatizo yote maana neno dini maana yake njia na njia kwa wakristo ni Yesu Kristo . Nawasii saana watanzania wenzangu tusiwe na shaka wala ofu katika haya maana ajaye atatumika kuyamaliza yote hayo na kutimiza andiko lisemalo Imani moja Bwana mmoja na ubatizo mmoja na na imani moja. Kwake Yesu lazima kila goti litapigwa. Wajibu wetu sisi tuendelee kumsii Mungu Mapenzi yake yatimie.
Nimecheeka saa.
Kama Manyumbu 😂😂😂😂
Huyu mchungaji. Sijawahi kumsikia kuna kitu uchawi wala free masaoni na wala wachawi
Serikari ifute usajiri wa kanisa la Dominic kiboko ya wachawi haraka sana.Hata kama analipa kodi.
selekali hiii niyawooo wala hawawezi kuwafukuza inge kua nihaki haipendi dhuluma
Kweli hananja kuna watu minyumbu